HII INAKUHUSU,UTEKAJI WA WATOTO NA KUUA KATIKA JIJI LA DAR ES SALAAM,WAZAZI SOMENI HAPA KWA MAKINI

Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuhusu ujumbe unaozunguka kwenye mitandao pamoja na ile ya kijamii, ikiwa ni pamoja na simu za mikononi kuhusu utekaji watoto jijini Dar es Salaam.

Ujumbe huo unaosomeka hivi

"Jmn kuna mchezo wakuiba watoto wa shule umeanza, kuanzia majuzi watoto 12 wa boko wameibiwa, juzi yake watoto20 wa ununio na wengine wa idadi isiyo eleweka wa kunduchi wameibiwa na wote wameibiwa mashuleni…..jana wawili wamepatikana wakiwa wamefariki!! Na inasemekana wanapelekwa mabwepande na mbweni kuna mashimo wanagukiwa na kunyonwa damu…..tupendane, mtaarifu na mwezio!!!"

Taarifa hii sio ya kupuuzia, wazazi na walezi mnaombwa sana kuwa waangalifu na watoto wetu kwani hali hiyo inatisha.
 
Gazeti moja la kila siku nchini liliwahi kuripoti kuhusu watoto wawili waliotoroka katika handaki moja huko maeneo ya Mabwepande na kwamba polisi walifuatilia lakini hawakuliona handaki hilo.Immamatukio itaitafuta taarifa hiyo ili kuiweka hadharani kwa faida yako

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top