HOTNEWSS... Wafunzi wa chuo cha mzumbe waua mwizi

Wanafunzi wa mzumbe main campus Morogoro wameua mwizi aliyeiba laptop kutoka mabweni mawili tofauti.
Taarifa zaidi zinasema uuaji huo umetokea na hasira kali za wanafunzi hao kuibiwa laptop kila siku na pia mwanafunzi mwenzao kuvamiwa barabarani na kujeruhiwa na visu siku zilzopita.


Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top