Naomba ushauri jinsi ya kumtoa Mpenzi wangu Bikira bila maumivu

Mzee Mzima yamenishinda Kila nikijaribu Kuweka kitu yangu , Mchumba wangu anaumia sana so tunashindwa kuendelea , miaka miwili sasa imepita tukijaribu anaumia sana na mie namuonea huruma akishaanza kulia tu natoa nisije muumiza...Mimi naamini mapenzi ni raha na si kuumizana so sitaki kumuumiza wangu wa maisha ...Sasa naombeni kama kuna mtu anajua njia raisi ya kutoa bikira ambayo mpenzi wangu hata umia hata kidogo.....

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top