AIBU!!! Kidume cha tupia picha za uchi za demu wake mtandaoni baada ya kuachana

Kama mnaachana c muachane kwa amani kama mlivyokuwa mnaanza maana uwezi kuwa mnazalilisha katika mitandao kwa kisa tu umepigwa kibuti, Vizuri mkaacha kwa amani maana huwezi jua labda mtarudiana baadae au mmeachana kwa malengo yenu mazuri kwa baadae.

Vizuri kuheshimiana na kumlinda aliyekuwa mpenzi wako!!!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top