Kweli
ukisikia wanawake wanaroho mbaya basi ujue ni kwa wnzio tu na usiombe
yakukute na wewe, Mwanamke mmoja wa kisukuma amemkata mumuwe sehemu za
siri kwa kutumia kisu baada ya kumfumania akifanya mapenzi na mtoto wa
ndugu yake, Mwanake huyo alichukua uamuzi huo wa hatari baada ya
kumfumania mume wake mara kadha na huku akidai kuwa atabadilika lakini
bila mafanikio na kilichomuhuzi mama huyo ni pamoja na kushirikiana kwa
tendo na ndugu zake wakike ambao wanakuja kumtenbelea.
Post a Comment