Wakubwa tu!! Hii ndiyo chumvi ya ukweli kunako sita kwa sita na mpenzi wako...Si yakukosa

Habarini wadau wangu wa ukweli..Nimatumaini yangu nyote muwazima wa afya kama mimi basi ni jambo jema na tunapaswa kumshuku Muumba wetu kwani yeye ndiye aliye tujalia afya mpaka tunakutana tena katika ukurasa wetu huu wa maraha na utamu...
Basi wadau wangu leo nawaletea Mada hii muhimu kabisa ambayo kama utaifuatilia vizuri kitakuwa ni kiungo kizuri kabisa kama chumvi kwenye mboga na hivyo basi penzi lako litahimarika hipasavyo
Mada yetu ya leo inahusu humuhimu wa kuvaashanga kwa mwanamke..kama ilivyo hada ulimwengu wa mapenzi ni mpana sana na unavitu vingi vya kujifunza hivyo basi usipitwe na elimu hii ya leo endelea nayo mpaka mwisho

katika kila kiungo cha mwili wako kinaumuhimu wake katika mapenzi hasa kiuno ambacho ndipo shanga huvaliwa na kiuno kazi yake ni kukatika pindi wanamke hawapo chumbani na mpenzi wake wakipata raha na utamu, Lakini vile vile unawezakatika sana ila usimchanganye mpenzi wako na akakuona wakawaida tu..ila kama utakuwa upo kitandani na umevaa shanga aijalishi za rangi gani au zinapendezaje na ukakatika kawaida sana hapo si kufichi lazima jamaa udenda umtoke na kukuona mpya kila wakati mnapo kuwa ndani ya sita kwa sita..

Umuhimu wa shanga hapa ni pale ambapo utakuwa unamkatikia mwanaume wako kwa ustadi ulifunzwa unyagoni na wakati huo huo shanga zitakuwa zinamtekenya na umfanya ajisikie raha ya ajabu na kadiri utakavyokuwa unakatika ndipo utamfanya aisi kama mashine yake inataka kukatika kwa raha atakazokuwa anazipata..

Na pia unapovaa halafu ukiwa na mpenzi wako katika sita kwa sita mnakula raha inakusaidia kiuno chako kikatike katika hali fulani ambayo inaonekana kweli kiuno kipo maana shanga zinatenganisha kati y a sehemu ya juu ya mwili na ya chini na hivyo ni vizuri ufahamu umuhimu huu wa kuvaa shanga na sifa zake..

Kama ujawahi kuvaa shanga mtoto wa kike au mtoto wakiume ujawahi ona mtoto aliyevaashanga basi jaribu kumfundisha mpenzi wako umuhimu wa kuvaa shanga ndipo utajua cha utamu wake ni nini na utaamini hichi nichokuambia..

ila Nakuacha na swali hili.. JE ULISHAWAHI KUWA KATIKA SAFARI ZAKO KATIKA UMATI WA WATU WENGI NA IKATOKEA MTOTO WA KIKE KWA BAHATI MBAYA ALIKUA AMEVAA SHANGA NI ZIKAONEKANA JE ULIJISIKIAJE, WATU WALIOKUWA WAMEONA WALIREACT VIPI..JIULIZE KISHA JIPE JIBU AU FANYA UCHUNGUZI????

Naomba kwa leo tuishie hapa..Usikose kuendelea kuwanasi kwa habari kali za kila siku hapahapa sawa mdau wangu wa ukweli.....  

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top