Hatari sana..Mapenzi popote ndo habari ya mjini,jione kinachofanyika hapa kati ya wapenzi hawa na Je nini kitatokea...

Muda mingi huwa tunasema kama unataka kufanya mambo yako kwa faida zako mwenyewe basi ni vizuri ukawa mwenyewe na nafsi yako maana hakuna siri ya watu wawili hapa duniani...Kwahiyo vitu vyako vya siri viweke viwe vya siri kwa faida yako na kulinda heshma yako pia..Ukatazwi na mtu kupiga picha za utupu hata ukikaa staili gani lakini kama ni kwa faida yako ila utakapo mtumia mtu mwingine tambua kwamba Dunia ni kama kijiji hivyo basi lazima itasambaa na kila mtu ataiona....

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top