Picha! Dr. Slaa akiwa ndani ya ndege leo asubuhi

Dr Slaa akiwa ndani ya Ndege akielekea ughaibuni asubuhi ya leo.
Nayakumbuka sana maneno ya Mwenyekiti Mbowe, aliwahi kusema "...Safari ya ukombozi ni sawa na safari ya treni linanalo kwenda Kigoma, wapo watakao shukia na kupandia Pugu, Morogoro, Dodoma, Tabora nk, lakini mwisho wa siku lazima safari indelee mpaka Kigoma... "
Akasema sema tena "... Ikitokea mmoja kati yetu akafa msilie, wekeni maiti yake pembeni kwa heshima kisha msonge mbele... "
Wish you well Dear Dr. Nitaendelea kukuheshimu lakini mapambano yanaendelea.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top