Moshi Mweupe Waanza Kuonekana CUF, Haya Hapa Majina Matatu Yaliyopitishwa Nafasi ya Uenyekiti

Baraza Kuu la CUF limepitisha majina 3 yatakayopigiwa kura kujaza nafasi ya Uenyekiti, iliyoachwa wazi na Prof. Lipumba mwaka jana.

Majina hayo ni

Twaha Taslima,
Riziki Shahari Mngwali na
Juma Nkumbi.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top