Ajali ya Fuso yaua mwendesha baiskeli Ifakara mkoani Morogoro

Mwendesha baiskeli ambaye hakufahamika jina lake mara moja amepoteza maisha baada ya kugongwa na lori aina ya Fuso eneo la Kibaoni, Ifakara mkoani Morogoro jana.
Marehemu anadaiwa kuwa ni mlinzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) mkoani humo.
Mwili wa marehemu ukiwa eneo la ajali. Pembeni ni baiskeli yake.

Baiskeli ya marehemu ikipakiwa kwenye gari.


Wananchi wakiwa eneo la ajali.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top