Mume achoma nyumba na kuteketea yeye na Mkewe baada ya kugombana

Mume na mke wamejilipua namafuta ya Petrol Mkoani Mtwara baada ya kutokea kwa ugomvi baina yao wakati wa usiku.
Kamanda wa Polisi alisema vifo hivyo vilitokana na ugomvi wa kifamilia ambapo Mume huyo aliyetambulika kwa jina la Selsius Kamguna alimpiga mkewe hadi kupoteza fahamu.
Alisema baada ya kuona mke wake amepoteza fahamu aliamua kuteketeza nyumba yao kwa moto akitumia mafuta ya petroli wakiwa ndani kitendo kilichosababisha wote wawili kupoteza maisha,

1 comments:

This comment has been removed by a blog administrator.

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top