Hizi ndizo fujo za Diamond Platnumz akiwa katika Mjengo wake..

Baada ya watu kuongea sana kuhusu Nyumba ya Diamond kuwa amefulia na hawezi kuimalizia na wangine wamesema kuwa amedhidiwa hata na Jux,Basi hichi ndicho alichokifanya Diamond ili kufunga kelele za wasiyo mjua vizuri..Mjengo huo wa kifahari mwenyewe anauita Diamond Palace ni mzuri kiukweli..




Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top