Uchaguzi wa Umeya Ubungo Waahirishwa...Kisa chote hiki hapa

Uchaguzi wa kumpata Meya wa Ubungo umeahirishwa leo hadi hapo itakapotangazwa tena baada ya madiwani wa Chadema na CUF kususa wakidai CCM imeongeza wajumbe.

Madiwani hao wamedai wajumbe wawili wa UKAWA wamehamishwa ili kurahisisha ushindi kwa CCM.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top