Wajumbe wakipiga kura
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakimpongeza Mhe. Sitta kwa ushindi wake wa kishindo
Mwenyekiti wa Kudumu wa Bunge Maalum la Katiba mteule Mhe Samwel John Sitta akitoa neno la shukurani kwa Wajumbe kwa imani waliyoonesha kwake kwa kumchagua kwa kura nyingi kushika nafasi hiyo.
Katibu wa Bunge Thomas Kashilila akiongea na waandishi wa habari kuhusu kukamilika kwa uteuzi wa wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa Bunge Maalum wa Katiba Ofisi Kwake Mjini Dodoma
TUNAOMBA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU TAARIFA HII!!!


Post a Comment