Tukio hili limetokea katika kijiji cha Semingkir wilayani Randudongkal baada ya Vijana waliokuwa wakicheza na bunda la carboni kulipuka baada ya kuliwasha moto.
Katika tukio hilo kijana Ahmad alipoteza maisha na rafiki yake mwingine ambaye alikuwa hoi taabani huku mguu wake mmoja ukiwa umeharibika vibaya sana na wengine ambao walika ambali na mlipuko huo waligeruhiwa kidogo.
Katika tukio hilo kijana Ahmad alipoteza maisha na rafiki yake mwingine ambaye alikuwa hoi taabani huku mguu wake mmoja ukiwa umeharibika vibaya sana na wengine ambao walika ambali na mlipuko huo waligeruhiwa kidogo.
Baadhi ya vijana wakikimbia baada ya mlipuko huo kutokea.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wanadai kuwa Ahmad ndiye aliyeenda kuwasha moto katika carbon hizo akisindikizwa na rafiki yake na vijana wengine wao walikimbia na ndipo mlipuko ulipotokea na Ahmad kupoteza maisha papo hapo na rafiki yake ambae alibaki nyuma kidogo kujeruhiwa vibaya na kupoteza Mguu wake.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wanadai kuwa Ahmad ndiye aliyeenda kuwasha moto katika carbon hizo akisindikizwa na rafiki yake na vijana wengine wao walikimbia na ndipo mlipuko ulipotokea na Ahmad kupoteza maisha papo hapo na rafiki yake ambae alibaki nyuma kidogo kujeruhiwa vibaya na kupoteza Mguu wake.
TUNAOMBA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU TAARIFA HII!!!
Post a Comment