Auawa kwa kukatwa mapanga mkoani Lindi.......Kisa mgogoro wa shamba

Marehemu  Hassan Hamis Dadi akitolewa kukimbizwa hospitalini baada ya kukatwa mapanga na mtu ambae hajafahamika aliemvamia akiwa kavaa Ninja akiwa shambani kwake katika kijiji cha Liteta Tarafa ya Mingoyo Lindi.

Baadhi ya mashuhuda walidai kisa ni mgogoro wa shamba la Chumvi ambalo kulikuwa na kesi ambayo ameshinda katika Mahakama kuu lenye Ekta 21.
Awali kabla ya tukio hilo Marehemu aliwahi pia kupigwa mapanga kuhusiana na mgogoro wa shamba hilo. 

Taarifa toka kwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI, Renatha Mzinga

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top