Jukwaa litakalo tumika na Lowassa kutangaza nia leo Jumamosi 30 May 2015....Hili hapa

Leo Mbunge wa Monduli Edward Lowassa atatangaza nia ya kugombea Urais katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid  jijini Arusha.Maandalizi mbalimbali yanaendelea huku ilinzi ukiimarishwa kila kona.

Mamia ya wananchi wanaendelea kuingia katika uwanja huu kutoka mikoa mbalimbali nchini Tanzania ikiwe Dares salaam,Arusha,Dodoma,Kagera,Mwanza na Mbeya
 Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha jijini katika maandalizi ya Mkutano wa Edward Lowassa.

Kila mtu katika uwanja pamoja na Watanzania wana shauku ya kutaka kufahamu Edward Lowassa atasema nini kuelekea katika uchaguzi wa Rais utakaofanyika wiki ya mwisho ya mwezi oktoba mwaka huu 2015.
Baadhi ya wananchi katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
Akina mama wa Kimasai katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top