Mauaji ya kutisha!! Mgawanyo wa mali waababisha mauaji Bagamoyo, Wachomana visu bila huruma...

Mauaji ya kutisha yametokea Wilaya ya Bagamoyo siku ya leo. Chanzo cha mauaji haya ni kuhusu talaka na mgawanyo wa mali.

Baada ya kwenda BAKWATA kusuluhishwa Mwanamke (Mwenyendoa) alitaka mali zote aandikiwe yeye na sio watoto kama ilivyokuwa...Mwanaume ( Mwenyendoa) alichomoa kisu alichokuwa amekificha kiunoni na kumchoma mkewe na yeye kujichoma kisu cha tumboni na kujiwekea mchanga kwenye utumbo uliokuwa umetoka nje ili asiweze kupona kabisa.


Picha zinatisha ila naweka baadhi zenye maadili.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top