UKAWA....Ee Mwenyezi Mungu, asante kwa Lowassa na Sumaye, sasa tunaomba utuletee Warioba!

Haya yanayotokea ni mpango wa Mungu kuibadili nchi hii. Hawa waheshimiwa Lowassa na Sumaye ni watu wakubwa sana katika taifa hili.Mungu amewaleta huku, nyuma yao kuna mamilioni ya watu, hakika watatuboost sana. Sasa namuomba Mungu atuletee na Mh. Warioba... Wote tuitikie.....'Twakuomba utusikie'.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top