Apoteza maisha baada ya kupigwa risasi na wauza unga....Soma zaidi hapa

 Jana mapema asubuhi watu wanaosadikika kuwa ni wauza unga walimuua kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Adriano Silva mwenye umri wa miaka 22 kwa kumpiga risasi tano mwilini mwake. 
Mashuhuda watukio hilo wanadai kuwa watu hao walio kuwa na silaha walianza kumfyatulia kijana huyo risasi baada ya watu hao kupishana kauli na kijana   huyo aliyekuwa akitembea katika mitaa ya  Panama huko  nchini Mexico.
Kwa mujibu wa jeshi la polisi baada ya kufanya uchunguzi wa awali wamebaini kuwa kijana huyo alikuwa ni miongoni mwa watu waliokuwa wanajishughulisha na biashara hiyo haramu ya kuuza unga.




 Picha za marehemu Adriano na sehemu tofauti za mwili wake baada ya kupigwa risasi.


TUNAOMBA MAONI YAKO HAPA CHINI KUHUSU TAARIFA HII!!!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top