Tahadhari picha zinatisha.....Maiti yakutwa inaelea mtoni ikiwa na jeraha kubwa shingoni

Maiti ya mtu asiyefahamika yakutwa ikielea katika bwawa lenye kina kirefu huko jijini Pathum Thani,nchini Thailand.

Waokoaji waliuona mwili huo ukiwa unaelea pembezoni ya mto huo wenye kina kirefu huku maiti hiyo ikiwa imekatwa mapanga hasa maeneo ya shingoni.

Polisi nchini Thailand ilithibitisha kutokea kwa kifo hicho huku wakisisitiza kuwa kwa mazingira iliyokutwa maiti hiyo inawezekana kuwa wahalifu walitenda unyama huo si zaidi ya masaa ishirini na nne kutoka maiti ilipokutwa.
Maiti hiyo inaavyoonekana baada ya kuokolewa mtoni.
Wananchi wakishuhudia tukio hilo pembezoni mwa mto.
Kikosi cha uokoaji wakiwa kazini kuokoa maiti hiyo.
 Askari waokoaji na wananchi wakishuhudia tukio hilo.
Askari waokoaji wakiendelea na juhudi za uokoaji.
                                        Shingo ya maiti hiyo jinsi ilivyokatwa mapanga.


Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top