Kajala Masanja afunguka na siri yake hii............Soma zaidi hapa

Star wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja amefunguka kuwa machozi yake huwa yapo karibu hivyo ukimuudhi kidogo tu lazima alie, 
Akipiga stori mbili-tatu Kajala alisema: “Machozi yangu yapo karibu sana sijui kwa nini huwa nashindwa sana kujizuia yaani mtu akinikorofisha kidogo tu lazima nitoe machozi ndipo hasira zitulie.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright RAHA TAMU Published.. Blogger
Back To Top